WABABE WA YANGA TOWNSHIP WATWAA UBINGWA

-Timu ya Township Rollers imetwaa ubingwa wa ligi kuu Botswana (BTC Premier League) mara tatu mfululizo baada ya jana kuifunga timu ya Extension Gunners Sc kwa magoli 2-0 magoli yaliyofungwa na Kaone Vanderwesthuizen na Segolame Boy.

-Hilo ni taji la 15 la ligi kuu ya Botswana (BTCPL) pia msimu huu imeshinda na Kombe la FA ya Botswana Pia.

Comments

Popular posts from this blog

Jinsi ya kutambua kama simu yako imehakiwa ama la!!

Mwanafunzi wa chuo kikuu sauti mbeya ajinyonga baada ya team yake ya leverpool kufungwa

MAURO CHANZO CHA KUACHWA TIMU YA TAIFA YA ARGENTINA