Jinsi ya kutambua kama simu yako imehakiwa ama la!!

*JINSI YA KUJUA KAMA SIMU/LINE YAKO INATUMIKA/INAONWA NA MTU MWINGINE*

piga namba *#61# angalia kama imeandikwa neno FORWARDED uje kuna mtu anasikiliza mazungumzo/sms zako. Na kama ikionyesha neno NOT FORWARDED basi uko salama.

Kuondoa au kumzuia mtu asiendelee kutumia namba yako piga ##21# ili kuondoa *monitoring device* kwenye namba yako.

Watumie na wengine kuwajulisha matukio haya.

Comments

Popular posts from this blog

Mwanafunzi wa chuo kikuu sauti mbeya ajinyonga baada ya team yake ya leverpool kufungwa

MAURO CHANZO CHA KUACHWA TIMU YA TAIFA YA ARGENTINA