Mbwana samatta aipeleka KRC GENK europa league

KRC Genk ya Ubelgiji timu anayochezea Mtanzania Mbwana Samata Usiku   wa jana Imefanikiwa kutinga Katika Michuano ya Europa League Baada ya Kupata Ushindi wa Magoli 2-0 Dhidi ya Zulte-Weregem.
Katika Mchezo huo Ilichukua Dakika 17 tu Samata Kuifungia timu yake Goli la Kuongoza na Goli la Pili likifungwa na Uronen Kunako Dakika ya 28.
Mpaka Mpira Unamalizika Genk 2-0 Zulte-Weregem.
# Samata #samatta77

Comments

Popular posts from this blog

Jinsi ya kutambua kama simu yako imehakiwa ama la!!

Mwanafunzi wa chuo kikuu sauti mbeya ajinyonga baada ya team yake ya leverpool kufungwa

MAURO CHANZO CHA KUACHWA TIMU YA TAIFA YA ARGENTINA