Posts

Young souljah_Napenda kukuona.mp3

Image
                                Download new Hit song from Tanzania Artist YOUNG SOULJAH                                                                                      DOWNLOAD HERE

B Chedde Blezze VINONO Official Video BY DRAMATIC MUSIC MEDIA

Image

Mbwana samatta aipeleka KRC GENK europa league

Image
KRC Genk ya Ubelgiji timu anayochezea Mtanzania Mbwana Samata Usiku   wa jana Imefanikiwa kutinga Katika Michuano ya Europa League Baada ya Kupata Ushindi wa Magoli 2-0 Dhidi ya Zulte-Weregem. Katika Mchezo huo Ilichukua Dakika 17 tu Samata Kuifungia timu yake Goli la Kuongoza na Goli la Pili likifungwa na Uronen Kunako Dakika ya 28. Mpaka Mpira Unamalizika Genk 2-0 Zulte-Weregem. # Samata #samatta77

Mwanafunzi wa chuo kikuu sauti mbeya ajinyonga baada ya team yake ya leverpool kufungwa

Image
Mwanafunzi wa mwaka wa pili wa chuo kikuu cha Mt.Augustino Tawi la Mbeya Moses Mashaka ambaye alikuwa Shabiki wa Damu wa Club ya Liverpool anadaiwa kujinyonga baada ya Timu yake ya Liverpool kufungwa bao 3-1 dhidi ya Club Bingwa Balani Ulaya Real Madrid Hapo Jana. Baadhi ya Mashuhuda wameeleza kuwa Mashaka alikuwa pia akijihusisha na mchezo wa kamali maarufu kama Betting na kwamba inawezekana ikawa ndio sababau ya kunyinyonga kwake baada ya Timu yake Kufungwa.

Nimeiona fainali yenye sura tatu (Realmadrid vs liverpool)

Image
Na @oscsarnickson20   Katika mchezo wa jana uliopigwa nchini ukrain ni fainali iliyogawanyika katika sehemu kuu tatu ndipo mchezo ukamalizika Sehemu ya kwanza ni mohamed salah on the pitch kwa maana ya ndani ya mchezo sehemu ya pili ni mohamed salah off the pitch or out of the pitch na sehemu ya tatu Ni Gareth bale sabstute (Mohamedsalah on the pitch) Wakati Mohamed salah alipokuwepo kwenye pitch alikuwa nafanya ball touches zenye tija ambazo zilikuwa zina tengeneza tention kwenye defence ya Madrid na kuwafanya free defenders role kama Marcelo kushindwa kujiachia Kurole na kupiga kross nyingi .....na pia salah alipokuwepo uwanjani liverpool walimuwa na confidence ya kupata bao muda wowote na madrid walikuwa wanaroose confidance kutokana na ubora wake hivyo walikuwa wanacheza kwa tahadhari kubwa sana   (Mohamed salah off pitch,out of pitch)    Baada ya mohamed salah kupata injury ndani ya first half kisaiklojia team nzima ya liverpool ikapata shida na ikiwa upa...

Record zilizovunjwa kwenye mchezo wa jana fainali ya uefa champions league

Image
REAL MADRID MABINGWA WA UEFA 2017/18. -Real Madrid ni timu ya kwanza kushinda taji la Uefa Champions League mara tatu mfululizo (2016, 2017, 2018). -Karim Benzema amekuwa mchezaji wa kwanza kufunga katika fainali kutoka Ufaransa mara ya mwisho mchezaji kutoka ufaransa kufunga katika fainali alikuwa Zidane mwaka 2002. -Karim Benzema ameifunga magoli 4 Liverpool katika Uefa Champios League sawa na Didier Drogba. -Karim Benzema amefikisha magoli 56 na kumfikia Ruud Van Nistelrooy nj wachezaji watatu (Ronaldo, Messi, Raul) tu ambao wanamzidi Benzema ya kufunga magoli mengi ya Uefa . -Sadio Mane  amefikisha magoli 20 msimu huu sasa  Salah, Firmino na Mane wamefunga magolu 20+ msimu huu ndani ya Liverpool ni msimu wa 1981/82  wachezaji watatu (Rush, Daglish, McDermott) wa  liverpool walifanikiwa kufunga magoli 20+. -Sadio Mane amekuwa mchezaji wa kwanza kutoka Senegal kufunga goli katika Fainali ya Uefa -Gareth Bale ametumia Sekunde 122 uwanjani kufunga goli baada y...